TUNDU LISSU APATA DHAMANA

Mbunge wa jimbo la Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu.
Na Mtapa Wilson
Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imemuachia kwa dhamana mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, kinyume na maombi yaliyowekwa na mawakili wa Jamhuri ya kuzuia asipewe dhamana.
Hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo, Wilbard Mashauri amesema kuwa baada ya kupitia hoja za serikali na majibu ya mawakili wa utetezi, haoni mantiki ya kuzuia dhamana kwa Lissu.
Hivyo mahakama hiyo imemuachia Lissu kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili watakaosaini bondi ya shilingi milioni 10 kila mmoja.


TUNDU LISSU APATA DHAMANA TUNDU LISSU APATA DHAMANA Reviewed by Unknown on 08:59 Rating: 5

No comments:

Theme images by merrymoonmary. Powered by Blogger.