CAF YAPATA RAIS MPYA

Kushoto ni Rais mpya wa Shirikisho la soka Afrika (CAF), Ahmad Ahmad.  Kulia ni aliyekuwa Rais wa shirikisho hilo, Issa Hayatou. (Picha na AFP)
Rais wa muda mrefu wa shirikisho la kandanda barani Afrika CAF, Issa Hayatou, ameshindwa kwenye uchaguzi.
Sasa rais mpya wa shirikisho hilo la soka ni Ahmad Ahmad, kutoka nchini Madagascar ambaye alipata kura 34.
Hayatou ameongoza shirikisho hilo la CAF kwa muda wa miaka 29.
CHANZO: BBC
CAF YAPATA RAIS MPYA CAF YAPATA RAIS MPYA Reviewed by Unknown on 13:30 Rating: 5

No comments:

Theme images by merrymoonmary. Powered by Blogger.